iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia Ayatullah Muhammad Yazdi ambaye alikuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Wasomi na Wahadhiri wa Chuo cha Kidini cha Qum
Habari ID: 3473441    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/10

TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni mtajika wa Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Muhammad Yazdi, ameaga dunia leo na kurejea kwa Mola wake.
Habari ID: 3473438    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/09